Chapati maji na shira ya embe
|
| Mapishi haya ni ya chai ya asubuhi au kitindamlo cha jioni. Kwa sababu maembe ni matunda, kwa hiyo mimi naweza kusema huu ni mlo kamili wa asubuhi kama ukinywa na chai ya maziwa na maji ya machungwa kama kianzio. Mimi sikutumi sukari wala mayai kwenye chapati maji, hii ni kwa sababu shira ya maembe ina sukari ya kutosha. Mimi nikitengeneza mapishi haya, huwa natumia nusu ya vipimo hivi. kwa sababu chapati zangu ni kama inchi 5 hivi. huwa natengeneza chapati tatu au nne. |
![]() |
Shira ya embe (Mango syrup) |
Viungo |
|
Wakati ukisubiri shira ipoe, anza mapishi ya chapati. |
| Chapati maji (Tanzanian crepes) | ||||||||||
| Viungo | ||||||||||
|
||||||||||
![]()
|
||||||||||
| Hatua ya mwisho ya mapishi | ||||||||||
|
||||||||||
| Ni chakula kizuri ukila na: |





