KashataMapishi ya Miriam (Mapishi ya Tanzania) |
| Kuna mapishi ya vyakula vitamu vingi Tanzania, na hii ni moja wapo. Lakini siwezi kuwaeleza mapishi haya yalianzishwa lini Tanzania. Lakini tunaweza kuhisi yaliletwa na watu wa Kiajemi kama vyakula vingine vya Tanzania. Kashata ni rahisi kupika na pia ni vizuri ukila kama kitindamlo na kahawa ya rangi bila sukari. | ![]() |
Viungo |
|
|
Kula na : |
