VIBIBI / Tanzanian Rice BallsBy Miriam (Tanzanian Recipe) |
Vibibi ni vitamu tamu vinavyopendwa sana Tanzania wakati wa Ramathani. Ingawa natayarisha vibi wakati wowote, watu wengi wanapenda kupika vibibi wakati wa Ramathani. Kuna jina lingine linalotumika Tanzania la vibibi, linajulikana kam vipopoo. Lakini mapishi haya yanaweza kuwa tofauti kutokana na mji unaoishi. Tafathali kama uko nje, usitumie unga wa mchele unaouzwa madukani. Utaaribu mapishi. Nunua mchele wa jasmini, loweka halafu saga kutumia blender au coffee grinder. |
![]() |
Ingredients |
|
|
|
|
Serve with: |
