Irio na vitunguu vya kukaangaBy Miriam: Mapishi ya Kenya |
| Githeri ni mapishi ya wakikuyu wa Nairobi, Kenya. Haya mapishi yana athiri ya Waingereza. Waingereza walitawala Kenya kwa muda mrefu na waka wazoesha Wakenya na tabia ya kunywa chai, na pia chakula kinachojulikana kama Githeri kati ya Wakikuyu. Githeri ni viazi ulaya vilivyo pondwa na mboga za majani, mahindi mabichi, na nyama. Mimi nilikula githeri za aina mbalimbali nilipokuwa Kenya; nyingine zilipikwa na nyama, sukuma wiki, njegele, karoti na mboga za kila aina. Kutayarisha mapishi haya ni rahisi sana. Haya ni mapishi ya kwanza niliyojifunza nilipokuwa kenya. Nimeongeza upishi wangu katika mapishi haya; mfano vitunguu vya kukaanga na dhania/majani ya mgiligilani si mapishi ya Githeri, lakini yanapendeza ukila pamoja. Ukitembelea Nairobi, usisahau kula githeri. |
![]() |
Ingredients |
|
|
|
|
Kula na : |
